Friday, April 6, 2018

FALSAFA YA MAISHA AWAMU YA 2...USIOGOPESHWE NA MAFANIKIO YA WENGINE


kuna mtu ana graduate akiwa na miaka 21 na hakupata kazi mpaka alipo fikia miaka 27

kuna baadhi ya watu wakiwa na miaka 25 walichelewa ku maliza masomo ila walipata kazi haraka mno 

tunawajua baadhi ya watu ambao hawajafika chuo kikuu ila wamefanikiwa kutoboa kimaisha wakiwa na miaka 18.

kuna mtu yeye alipo maliza shule /chuo ali pata ajira papo kwa hapo na isitoshe ana kazi inayo muingizia pesa nyingi na nzuri ila kazi anayo ifanya ,   kazi anayo ifanya haipendi .


baadhi ya wenzetu  wamechukua miaka mingi toka wamalize shule  bila kufanya lolote na bado wamefanikiwa kujua dhumuni lao la kuishi wakafanikiwa.


kuna baadhi walikuwa na hakika ya nini wana kitaka wakiwa na miaka 16, wakabadilisha mawazo  wao wakiwa na miaka 26.

kuna baadhi ya watu ambao ni wa pweke katika mahusiano (single) ila wana watoto

na kuna baadhi ya watu ambao wameolewa zaidi ya miaka 7,10 n.k na hawana watoto

kuna watu wapo katika mahusiano ila kila mmoja anampenda mtu mwingine, huku wengine wanapendana ila hawawezi kuwa pamoja.

katika maisha kila jambo linatokea kutokana na  muda wetu .

unaweza ogopeshwa na hatua za mafanikio marafiki na ndugu ulio zaliwa nao , ulio cheza nao utotoni, ulio soma nao walizo piga mbele yako ukaanza kupaniki na kuchanganyikiwa, au ukaona wengine wapo nyuma yako kimaendeleo. tambua kuwa muda wao haujafika au muda wao wa mafanikio waliyo kutangulia umesha wapitia.


KUWA MVUMILIVU, USIIGE NA WALA USI HARAKISHE NA PIA USI NUNG'UNIKE

Tuesday, April 3, 2018

FALSAFA 18 ZA MAISHA









1. Mwenye saa moja ukimuuliza muda atakutajia sawa sawa - mwenye saa mbili ukimuuliza muda  hatokuwa na hakika


 2. Usikae chini ukaangalia ulipo shindwa - angalia ulipo teleza.




3. Angalia maisha unayo ishi katika wind-shield(kioo kikubwa kinacho zuia upepo katika gari) na sio rear mirror(kioo cha nyuma kinacho , kitumikacho kuangalia ya nyuma katika gari)



4. Hakuna mahali utakapo pata Amani kama si kwako mwenyewe- hata kwa sangoma hakuna.



5. Binadamu wata kuwekea mashaka kwa yale unayosema - wataamini utakayo fanya tu.

6. Kuwa mwema kwa walio chini  wakati unaelekea juu  - utawahitaji siku utakapo shuka chini.

7. Muda ulio furahia kuupoteza -haukupotea ( muda haupotei)




8.usijielezee sana kwa marafiki hawaitaji maelezo yako - maadui hawatokuamini pia. (Fanya unavyo weza)

9. Unapo panga kulipa kisasi chimba makaburi mawili - moja lako


10. Ujasiri sio kukosa woga - uwezo kutenda unapokutana na woga.

11. Jitahidi kukua bila kujali kupita urefu wa baba yako ni kiasi gani.

12. Njia nzuri ya kutabiri mambo yako yajayo ni kujenga sasa hivi.

13. Ni bora kuchukiwa kwa jambo ulilo nalo kuliko kupendwa kwa jambo usilo nalo.

14. Usijali juu ya uliokuwa nao kipindi cha nyuma , ni sababu pekee ya kwa nini haupo nao sasa hivi- usijute

15. Furaha ni faida kuliko utajiri- hakuna anayeweza kukuazima







16. Kila jambo hutokea kwa sababu

17. Msamaha sio kitu unafanya kwa ajili ya uliye mkosea- unasamehe  ili uwe huru na uweze kusonga mbele wewe binafsi.

18. Tofauti unayo iona baina yako na mwingine ndio uzuri wako 





Quotes

 

     “And what my mother meant when she said you can’t eat beauty was that you can’t rely on how you look to sustain you. What is fundamentally beautiful is compassion for yourself and for those around you. That kind of beauty enflames the heart and enchants the soul. BY LUPITA NYO'NGO

YALIYO PITA YAME PITA

Unacho kifanya leo  ,ni kitakutambulisho cha jinsi unavyo ishi au maisha yako yatakavyo kuwa kesho

ni kwa bahati mbaya sana  watu wengi wanatumia muda kujuta kwa ya yaliyopita, kufikiria na kupanga yaliyopita badala ya kutambua lilo pita lime pita YAMEISHA , Kilicho tokea jana kika kuumiza hakina matokeo kesho, ukiwaza ya jana sana yata kufanya uharibu uwezo wako wa yajayo.
chukua biashara yako, mfano unataka kuongeza idadi ya wateja,kabla hujaanza chochote unapokuwa unafikiria hili huwa unajipa picha ya jinsi biashara itakavyo kuwa miaka kadhaa ijayo , then unachukua hatua na kuanza kufanyia kazi na sio unavuta picha kwa jinsi ulivyo feli nyuma,  kwa hiyo hatua itakayo fuata nikuanza kujenga ile picha ya mafanikio yako uliyo  iona katika mawazo ya mbele , sasa ukiwa na plan ya kuvuta hao wateja ili upate wateja wengi siku zijazo ni bora kuliko kutokuwaza kabisa kuvuta picha hiyo.
remember the more action you take, the more your future will look like you want it to.

hii ni sababu huwa naona magazeti yanaweza hata ku haribu watu, sababu yana habari nzuri ila zilizopita, yamezingatia kwenye yaliyo pita na siyo yajayo.yajayo ni muhtasari wa matendo uyafanyayo sasa . siyo ulliyo yafanya au ambayo hukuyafanya jana.
"jifunze kwenye yaliyopita ili ufanikiwe katika yajayo. ila usikae na kuanza kuwazia AU kufanyia kazi yaliyopita utachelewesha mafanikio yako."


BADILIKA NA HALI INAVYO KWENDA

 Inaweza kukushangaza ila pia ika kuhuzunisha!!!

Wakati wa press conference ya kutangaza kuwa NOKIA imekuwa acquired na Microsoft, Nokia CEO alimaliza speech yake kwa kusema “we didn’t do anything wrong, but somehow, we lost”. 

Juu ya kusema hilo, management yake/team yake na yeye mwenyewe, walikuwa wakitokwa machozi ya huzuni. 


Nokia imekuwa kampuni yenye heshima kubwa duniani. Hawajafanya lolote baya /they didn’t do anything wrong katika biashara yao, kilichotokea ni DUNIA KUBADILIKA KWA HARAKA SANA huku wao wakiwa wame relax(hawaendi sambamba na mabadiliko). 


Malengo yao yalikuwa yenye nguvu . Walipopotea wao ni kutojifunza  kubadilika na hapo ndipo wakapoteza nafasi kubwa sana iliyokuwa mikononi mwao ya kuifanya nokia kuwa kampuni kubwa, 
na pia si nafas tu walipoteza nafas ya kutengeneza pesa nyingi. Na wakashindwa ku survive. Ujumbe wa story hii ni huu. Usipobadilika , utatolewa katika shindano. Si kosa kama hutaki kujifunza mambo mapya Ila Pia kama unafikiri kuwa mindset yako haiwezi badilika na muda unavyoenda *amini usiamini* utakuwa eliminated. 

Conclusion:

 1. Faida uliyokuwa nayo jana inaweza kuzidiwa na Toleo Jipya dogo La kesho, You don’t have to do anything wrong ili upitwe katika maendeleo,au u feli katika biashara yako, kama ww ni mshindani nenda na mawimbi na ufanye KWELI, laa si hivyo Unaweza kupoteza na kufeli, na kupoteza biashara zako zote.

 2.Kubadilika na kujiinua mwenyewe ni kujipa mwenyewe nafasi ya pili ya kufanya tena ..na si kujaribu. Ukilazimishwa na wengine ubadilike jua kuwa utakuwa unaondolewa kwenye shindano Wale wanaokataa kujifunza na kukua/kujiinua HAKIKA siku moja hatutowasikia kabisa na hawato onekana tena katika kiwanda cha ushindani walichopo. UTABAKI KUWA historia. Jua kabisa utajifunza somo kwa ugumu na kwa gharama sana ili urudi kwenye status yako ya awali .


wazo la leo!!
Despite restrictions on education of blacks during apartheid, she earned a degree in social work from the Jan Hofmeyer School in Johannesburg, and several years later earned a Bachelor’s degree in international relations from the University of Witwatersrand.

Read more https://independent.ng/15-facts-about-winnie-mandela-you-may-not-know/
Winnie Madikizela–Mandela was born on the 26th of September 1936 in the village of eMbongweni Eastern Cape Province.

Read more https://independent.ng/15-facts-about-winnie-mandela-you-may-not-know/
Winnie Madikizela–Mandela was born on the 26th of September 1936 in the village of eMbongweni Eastern Cape Province.

Read more https://independent.ng/15-facts-about-winnie-mandela-you-may-not-know/

Monday, April 2, 2018

HOW BAD DO YOU WANT IT?




There was a young man, you know,
who wanted to make a lot of money
and so he went to this guru, right.
And he told the guru you know
I wanna be on the same level
you are and the guru said
if you wanna be on the same level I’m on,
I’ll met you tomorrow at the beach.

So the young man got there 4 A.M. he already to rock n’ roll.
Got on a suit should of wore shorts.
The old man grabs his hand and said:
How bad do you wanna be successful?
He said: “Real bad”.
He said: Walk on out in the water.
So he walks out into the water. Watch this.
When he walks out to the water
he goes waist deep and goes like this guy crazy.

Hey I wanna make money and he got me out here swimming.
I didn’t ask to be a lifeguard.
I wanna make money he got me in
so he said come on a little further
walked out a little further
then he had it right around this area
the shoulder area
so this old man crazy
he making money but he crazy.
So he said come on out a little further
came out a little further, it was right at his mouth
my man, I’m not about to go back in this guy is out of his mind. And the old man said:
“I thought you said you wanted to be successful?”
He said: “I do.”
He said: “Then walk a little further.”
He came, dropped his head in, held him down,
hold him down, my man (kept scratching) hold him down,
he had him held down,
just before my man was about to pass out,
he raised him up.
He said: “I got a question for you.”
He told the guy, he said:
“When you want to succeed as bad as
you wanna breathe than you will be successful.”

I don’t know how many of you all got asthma here today?
If you ever had a asthma attack before your short of breath S.O.B shortness of breath,
you wheezing (breath sound) the only thing
you trying to do is get some air.
You don’t care about no basketball game,
you don’t care about what’s on T.V.,
you don’t care about nobody calling you,
you don’t care about a party.
The only thing you care about
when you trying to breathe is to get some fresh air.
That’s it!
And when you get to the point
where all you wanna do is
be is successful as bad as
you wanna breathe then you will be successful.
And I’m here to tell you that number one,
most of you say you wanna be successful
but you don’t want it bad, you just kind of want it.
You don’t want it bad than you wanna party.
You don’t want it as much as you want to be cool.
Most of you don’t want success as much as you want sleep.
Some of you want sleep more than you want success.
And I’m here to tell you today,
if your going to be successful
you gotta be willing to give up sleep.
You gotta be willing to work with 3 hours of sleep
2 hours of sleep, if you really wanna be successful.
Some day your gonna have to stay up 3 days in a row.
Because if you go to sleep you might miss
the opportunity to be successful.
That’s how bad you gotta (inaudible).

You gotta go days without
LISTEN TO ME!
You gotta want to be successful so bad that you forget to eat.
Beyonce said,
once she was on the set doing her thing,
three days had gone by and she forgot that she didn’t eat. Cause she was engaged.
I never forget,

I went, 50 Cent was doing his movie,
I did a little research on 50
and 50 said: that when he wasn’t do the movie he was doing the soundtrack.
And they said: “When do you sleep?” 50,
and 50 said: “Sleep, sleep is for those people who are broke.
I don’t sleep.” See I got an opportunity to make my dream become a reality.


Don’t cry to quits.
You already in pain, you already hurt.
Get a reward from it. Don’t go to sleep until you succeed.
Listen to me,
I’m here to tell you today you can come here and
and you can jump up – you can do flips and you can be excited when we give away money but listen to me,
you will never be successful,
I don’t have to give you a dime if you ...
You won’t be successful until you say I don’t need that money cause I got it in here.

BY ERIC THOMAS AKA ET

Saturday, March 31, 2018




Wishing you and your family the happiest Easter of all. God bless you now and always.
Love you guys